×
RECHERHCE
×

Nyuma ya Mapazia

×
  • Dans le texte
  • Bouquiner
  • Index
RECHERHCE

Mtobwa, R.

Livrel 152p.
(Fiction)
ISBN: 9789966565921
Tanzania iliingia katika uchaguzi mkuu ulioshirikisha vyama vingi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1995. Kampeni kubwa za kitaifa na kimataifa zilifanyika hadharani na sirini. Yako mengi yaliyokuwa yakiendelea �Nyuma ya Mapazia�. Mengi ya kutisha na kuogofya, na ambayo yaliambatana na matumizi makubwa ya pesa, mauaji ya kikatili na ujambazi usio na kifani. Joram Kiango, Inspekta Kombora na kikosi kizima cha polisi wanagonga mwamba katika harakati zao za kutatua kizungumkuti hicho. Kutokweka kwa King Halfan King na maiti ya mpenziwe kupatikana ikielea ufukweni wa Bahari ya Hindi kunazidisha maswali mengi bila majibu. Hata hivyo, kizungumkuti hiki kitatatuliwa?
×
  • Dans le texte
  • Bouquiner
  • Index
RECHERHCE
×

Bouquiner

Index