×
RECHERHCE
×

Dimbwi la Damu

×
  • Dans le texte
  • Bouquiner
  • Index
RECHERHCE

Mtobwa, R.

Livrel 104p.
(Fiction)
ISBN: 9789966565914
Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa. Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua...
×
  • Dans le texte
  • Bouquiner
  • Index
RECHERHCE
×

Browse

Index